Kwa mawasiliano zaidi.

Name

Email *

Message *

Tuesday, May 30, 2023

Mkurugenzi Mtendaji wa Strong Women Foundation apeleka msaada wa chakula kwa watoto wanaoishi mazingira magumu

Mkurugenzi mtendaji  wa Strong Women Foundation,lililopo jijini Mwanza Neema Ng'asha,leo amekwenda kuwapa msaada wa chakula watoto wanaopitia mazingira magumu.Ameiomba jamii kuwa kumbuka watoto wanaopitia mazingira magumu kwa kuwapata chakula na kuhakikisha wanapata elimu na malezi bora.



Pia ameomba wadau wenye moyo wa kusaidia jamii waungane na taasisi zinazofanya kazi ya kusaidia jamii kwa ujumla tuweze kuleta mabadiliko makubwa kwa jamii yetu.

Kama kuna mtu ataguswa kuwa mmoja wa wadau wa Strong Women Foundatio tunaomba awasiliane nasi kwa namba 0754 220078.





 

No comments:

Post a Comment

Shikira la Strong Women Foundation latoa msaada wa vifaa vya shule kwa watoto.

 Shirika la Strong Women Foundation (SWF) Tanzania lenye makao yake makuu jijini Mwanza.Limetoa vifaa vya shule kwa watoto wanaopitia mazing...