Wajumbe wa bodi pamoja na baadhi ya wafanyakazi wa Strong Women Foundation wakiwa kwenye picha ya pamoja.
Team hii inafanya kazi kubwa sana kuhakikisha inatimiza malengo yake kusaidia wanawake na mabinti Tanzania.
Kushoto ni Mr Michael Petro Kaaya (Gender& Children Affairs Officer),Neema Ng'asha (Mkurugenzi mtendaji wa Strong Women Foundation),Christina Msegu(Research &Planning Officer),Beth Mpuya Gambaloya(Mhazini mkuu na founder member) na Neema Petro Eliya(Founder member wa Strong Women Foundation ).

No comments:
Post a Comment