Kwa mawasiliano zaidi.

Name

Email *

Message *

Wednesday, January 8, 2025

Shikira la Strong Women Foundation latoa msaada wa vifaa vya shule kwa watoto.

 Shirika la Strong Women Foundation (SWF) Tanzania lenye makao yake makuu jijini Mwanza.Limetoa vifaa vya shule kwa watoto wanaopitia mazingira magumu kituo cha Foundation Karibu Tanzania kilichopo jijini Mwanza.

Akiongea na mwandishi wetu Mkurugenzi mtendaji wa shirika hilo ambaye pia ni Muimbaji wa nyimbo za Injili Neema Ng'asha anasema namshukuru Mungu kuwawezesha kutoa msaada wa vifaa vya shule kwa watoto hawa. Pia anaomba jamii kuwakumbuka hawa watoto wengine ni yatima kabisa hawana wazazi.Qazazi wao ni Sisi tulio hai. Kutoa ni moyo hata kwa kidogo ulicho nacho ukiwakumbuka watoto hawa ni faraja kwao pia kwa Mungu unakuwa umewekeza.

Aidha Mkurugenzi wa Strong Women Foundation Neema Ng'asha amewashukuru sana wadau wote ambao wamekuwa wakimshika mkono kufanya kazi hii.

Strong Women Foundation (SWF)wakiwa kituo cha Foundation Karibu Tanzania.





No comments:

Post a Comment

Shikira la Strong Women Foundation latoa msaada wa vifaa vya shule kwa watoto.

 Shirika la Strong Women Foundation (SWF) Tanzania lenye makao yake makuu jijini Mwanza.Limetoa vifaa vya shule kwa watoto wanaopitia mazing...