Kwa mawasiliano zaidi.

Name

Email *

Message *

Tuesday, May 30, 2023

Strong Women Foundation(SWF) yaongea na watoto wa kike kusoma kwa bidii ili waweze kutimiza ndoto zao.

Mapema leo Strong Women Foundation (SWF) walitembelea shule ya msingi Mkolani,iliyopo jijini Mwanza  kuongea na watoto wa kike.

Strong Women Foundation ni shirika ambalo limejikita kuelimisha wanawake na watoto wa kike kutimiza ndoto zao.Leo lilifika shule ya Msingi Mkolani na kufanikiwa kuongea na watoto wakike waaweze kuepuka vishawishi na mimba za utoto ili waweze kutimiza ndoto zao.


Pia Mkurugenzi wa Shirika la Strong Women Foundation amewaasa kutokujihusisha na vitendo vya usagaji na ushoga na kukataa kipindi wanaona vitendo hivyo ambavyo ni kinyume na maadili ya Taifa letu. 


Mkurugenzi Mtendaji wa Strong Women Foundation,Neema  Ng'asha ameiomba pia jamii kuzingatia malezi bora ya watoto.Kuhakikisha wanafata elimu bora kwa kusimamia na pia kuwalinda na vitendo vya ushoga,ulawiti na ubakaji.


No comments:

Post a Comment

Shikira la Strong Women Foundation latoa msaada wa vifaa vya shule kwa watoto.

 Shirika la Strong Women Foundation (SWF) Tanzania lenye makao yake makuu jijini Mwanza.Limetoa vifaa vya shule kwa watoto wanaopitia mazing...