Kwa mawasiliano zaidi.

Name

Email *

Message *

Tuesday, May 30, 2023

Meya wa jiji la Mwanza awa mgeni rasmi katika uzinduzi wa shirika la Strong Women Foundation (SWF)

 Meya wa jiji la Mwanza,Mheshimiwa Sima Costantine Sima,amekuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa Shirika la Strong Women Foundation (SWF)lililopo jijini Mwanza.

            ( Mhe.Sima Costantine Sima akiongea)

Uzinduzi huu uliofanyika katika kumbuka wa Mwanza Hotel na kuhudhuriwa na wadau mbalimbali wa maendeleo jijini Mwanza 

  

(Mkurugenzi Mtendaji wa Strong Women Foundation Neema Ng'asha akiongea)

Shirika la Strong Women Foundation ni asasi isiyokuwa ya kiserikali yenye makao yake makuu jijini Mwanza.Shirika hili linafanya kazi ya kusaidia wanawake,mabinti na watoto wanaopitia mazingira magumu.

(Bodi member wa Strong Women FoundationBeth Mpuya Gambaloya )

Katika uzinduzi huu Meya wa jiji la Mwanza Amepongeza Mkurugenzi Mtendaji wa Strong Women Foundation Neema Ng'asha pamoja na viongozi wote wa shirika hilo kwa kazi njema wanayofanya kusaidia jamii yetu.

Bishop Daniel Moses Kulola pamoja na mke wake Mercy Daniel Kulola na wachungaji wengine wakifatilia kwa umakini uzinduzi huu



Kikundi cha MWANAMKE  NGUZO kutoka Strong Women Foundation wakimuuzia mgeni rasmi bidhaa walizotengeneza.


No comments:

Post a Comment

Shikira la Strong Women Foundation latoa msaada wa vifaa vya shule kwa watoto.

 Shirika la Strong Women Foundation (SWF) Tanzania lenye makao yake makuu jijini Mwanza.Limetoa vifaa vya shule kwa watoto wanaopitia mazing...